Home NEWS Beautiful Lyrics – Chidi Beenz

Beautiful Lyrics – Chidi Beenz

0
Beautiful Lyrics by Chidi Beenz

Beautiful Lyrics by Chidi Beenz – Download Mp3 Audio

Yeah yeah yeah yeah…
I’m feeling nice
I’m feeling nice

Once upon a time hii hadithi yake
Kama mziki mtamu kwenye speaker yake
Kufunziwa rhymes kwenye sauti yake
Mikato michuz mwenye utash wake

Wanataka kuconfuse penzi langu kwako
Wanakesha na miuzi wanaketi vitako
Mikutano ya kipuzi mi ndio nyota yako
Kama jana kama juzi yeah ndo michapo

Mi super duper fly kichupa cha duka
Umeninyonga kama tai kush meditation
Najifeel kula dry, ha ha hey say say
Say hey butterfly

Mami chikita chikita wee, we mrembo wee
Tingisha tingisha ti body lako wewe
Kimbiza kimbiza ha-ha-hakuna kama wewe
Kimbiza  mwaaah

Beautiful, hello mummy beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Hello Jane, hello Mary hello miss Carolina
Hello Emmy, hello Emily, hello Christina
OG sio kama zile fake, zile za kutoka China
Fresh mpaka jina yeah…

Love me love me Mr Bombastic
Very fantastic ukilala nasty
Hey hey hey hey sexy lady
Hey hey hey hey sexy beiby

I’ma pull it down, we go down beiby
Let’s get it down, lets rock beiby

Mami chikita chikita wee, we mrembo wee
Tingisha tingisha ti body lako wewe
Kimbiza kimbiza ha-ha-hakuna kama wewe
Kimbiza  mwaaah

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Beautiful Lyrics by Chidi Beenz

ALSO, SING TO – Unanikosha Lyrics – Marioo

Previous articleNakupa Moyo Lyrics – Bahati Ft Akothee
Next articleTop 10 Most Profitable Agribusiness Ideas in Kenya