Home GENERAL Basi Lyrics – BONGA – New Song 2020

Basi Lyrics – BONGA – New Song 2020

0
Basi Lyrics

Basi Lyrics – BONGA – Download Mp3 Audio

Moyo umevuja damu
Maumivu naugulia mwenyewe
Hivi hufahamu kuna safari
Tuliyopanga na wewe

Ah ah sikulaumu mama
Huenda ngoja ngoja zilikuzingua
Zile ahadi nitakununulia hama
Hapo kesho nikitusuwa

Eeh Shida imekuwa gumzo
Nilijitahidi uridhike
Wenye kuridhia matuzo
Umeniacha niaibike
Ee eh ooh ooh

Ooh shida
Ah ndo zilifanya ukaondoka
Ooh shida
Ah au ndo penzi langu umechoka
Ooh shida

Mi wa zamani goroka
Ooh shida ooh shida
Ooh shida

Basi Basi, Basi Basi Basi
Basi Basi
Kama langu la kukosa sawa
Basi Basi
Eti leo nakuganda chawa
Basi Basi
Japo kuwa kishingo upande

Nimeanza kuzoea machozi maana
Imekuwa moja ya furaha yangu
Kutendwa kama dozi
Kila siku zamu yangu

Au ndio siyawezi waniona maana
Umechoshwa na shida zangu huu
Bora ungenichuna ngozi
Nipate furaha yangu

Kinachoniuma umeacha doti ya kanga
Kila nikiona ndio kinaamka kizanga
Ooh yo yo yo

Ooh shida
Ah ndo zilifanya ukaondoka
Ooh shida
Ah au ndo penzi langu umechoka
Ooh shida

Mi wa zamani goroka
Ooh shida ooh shida
Ooh shida

Basi Basi, Basi Basi Basi
Basi Basi
Kama langu la kukosa sawa
Basi Basi
Eti leo nakuganda chawa
Basi Basi
Japo kuwa kishingo upande
Basi Basi, Basi Basi Basi

Basi Lyrics Credit – BONGA

ALSO, SING TO – Mama Lyrics Precious Ernest – New Song 2020

Previous articleYohana Lyrics Wambui Katee Sauti Sol Suzanna Cover 2020
Next articlePepo Lyrics – Masauti Ft Exray – New Song 2020