BADO LYRICS – BAHATI AND DENNO
VERSE ONE
Eeh niaje Denno
Vipi Bahati tena?
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
VERSE TWO – BAHATI
Nimesoma degree na kazi bado(Bado)
Mke wangu anadanga umasikini chanzo(Bado)
Vibarua Eastleigh na kazi bado(Bado)
Nyumba nayo ya kupanga elimu zero(Bado)
Mama analia cancer matibabu bado
Heri yule tajiri atatibiwa Ng’ambo
Baba lini machozi yatafika mwisho
Fanya hima ushuke tumefika mwisho
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
ALSO, SING TO Sokote Lyrics â Masauti New Song 2019
VERSE THREE – DENNO
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona
Nijue sura ya mke wangu
Pia mwezi na nyota nione
Nikichunguza na kuvutia
Alafu isitoshe
Shida zimeniandama aaah
Kodi sijalipa(Bado)
Jirani anachoma nyama aah
Angalau hata mboga(Bado)
Si ati kwamba nasahau
Unaniwaziaga mema(Bado)
Ila mwisho nimefika
Lakini nakutazamia(Bado)
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
ALSO, SING TO Stivo Simple Boy Uhalifu Lyrics Song of 2019
VERSE FOUR – BAHATI AND DENNO
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona
Nijue sura ya mke wangu
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kupata baraka
Nifanane na wenzangu
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
ARTISTS
BAHATI
DENNO