We have written the best Aslay ft Alikiba Bembea lyrics below. You will without doubt fall in love with our Aslay ft Alikiba Bembea lyrics. Enjoy and remember to come back for more sweet lyrics. We provide the best lyrics.
Verse One Aslay
Nah nah nah nah nah nah nah…
Wapi unawaumizaga
Niambie tuwakomeshe
Tuwakomeshe vishadai
Wavimbe wateseke
We nipende tu
Nipe na nyota nitembelee
Wachawi viga kura
Beiby tushikane tuwakemee
We ni doctor mi mgonjwa
Ndo maana nikikuona
Mwenzako ninapona
Umenijaa akilini
Ndo maana nakutaja
Mwenzako kila ngoma
Beiby, tuifiche hiyo siri
Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri
Waone utavyonimwaga
Wa mbili awe mbili
Wa kwanza tuwe wa kweli
Ah nataka ta takataa
Natakata na penzi lako
Na nitadata nitadata
Ukininyima hicho ulichokuwa nacho
Naridhika ridhika
Naridhika na huba lako
Nakuahidi nitakufa
Nikija kulikosa hilo penzi lako
Chorus Aslay
Bembea, mahabuba bembea oooh
Bembea, nakuruhusu ning’inia
Kwenye moyo wangu
Bembea, lazizi bembea oooh
Bembea, mwenzako nasikia raha sana
Aslay
Nasi tunazima data
Simu zao tunakata
Tudanane kama mapacha
Wawili wawili, wawili twende mbele
Ulivyo mtamu ratili
Verse Two Alikiba
Sukari usiongezee
Ujuzi unao, uzuri unao nashiba
Mahaba ilegezee eeh
Ah ukinigusa nasisimua
Jaa jaa bigwa wako sasambua
Umeniweza mtoto wa kishua
Shida zangu zote unatatua
Ndo maana nakupenda
Palipo ufa tujenge
Usisikize wapambe wee
We nipende nikupende
Na ndio maana nakupenda
Tuifiche hiyo siri
Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri
Waone utavyonimwaga
Eii, Wa mbili awe mbili
Wa kwanza tuwe wa kweli
Wambeya wanasubiri wapate
Cha kusemaga
Chorus Aslay and Alikiba
Bembea, bembea unawamaliza
Bembea, wakose cha kusemaga
Hakuna kutafuna
Bembea, bembea unawamaliza
Bembea, wakose cha kusemaga
Hakuna kutafuna