Home NEWS Ashua Lyrics – Zuchu Ft Mbosso

Ashua Lyrics – Zuchu Ft Mbosso

0
Ashua Lyrics

Ashua Lyrics by Zuchu and Mbosso – Download Mp3 Audio

Verse One

Aaah aah, naa aaah ooh

Mocco

Marahaba, marahaba habibi
Dunda kwa mama ngala kupachua
Oooh mahaba, mahaba yamzidi
Kindi muchanga chaku chachua

Mmmh tamu zaituni
Tunda la peponi nalila Nalila
Game ya sakafuni
Tunadundisha na kipira Kipira

Napewa penzi sabuni
Linalonitakasa madhira
Huniita hunny hayuni
Mkali wa tatu bila Bila

Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Niongoze usukani
Kwenye penzi barabara

Chorus

Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okay beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua

Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua
Tuwachome mapaka shume

Ashua Lyrics Verse Two

Ooooh ooh ooh ooh ooh
Kweli mambo mazuri
Hayataki haraka ooh
Haraka ooh mmh

Kwa dua nimesubiri
Nimepewa nilichotaka ooh
Nilichotaka oooh mmh

Penzi linaninogesha Noga
Nampa mchicha ale Noga
Vinono vya kunenepesha Noga
Sambusa ya nyama tele Noga

Kisha namchangamsha Noga
Namchezea segere Noga
Mwali kujineng’emsha Noga
Huku napiga kelele Aaah aah aah

Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Wewe wangu usukani
Kwenye penzi barabara

Chorus

Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okey beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua

Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua

Ashua Lyrics Verse Three

Wakikuuliza mbona huonekani
Tunacheza solo na zumari ndani
Kuingiza kete shimoni
Tunacheza solo na zumari ndani

Makopa kopa kwa malavidavi
Tunacheza solo na zumari ndani
Michezo ya karata kulambishwa mavi
Tunacheza solo na zumari ndani

Ashua Lyrics by Zuchu and Mbosso

ALSO, SING TO – Wana Lyrics – Zuchu

Previous articleKabi Wa Jesus Biography and Background Information
Next articleMauzauza Lyrics – Zuchu Ft Khadija Kopa