Ashua Lyrics by Zuchu and Mbosso – Download Mp3 Audio
Verse One
Aaah aah, naa aaah ooh
Mocco
Marahaba, marahaba habibi
Dunda kwa mama ngala kupachua
Oooh mahaba, mahaba yamzidi
Kindi muchanga chaku chachua
Mmmh tamu zaituni
Tunda la peponi nalila Nalila
Game ya sakafuni
Tunadundisha na kipira Kipira
Napewa penzi sabuni
Linalonitakasa madhira
Huniita hunny hayuni
Mkali wa tatu bila Bila
Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Niongoze usukani
Kwenye penzi barabara
Chorus
Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okay beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua
Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua
Tuwachome mapaka shume
Ashua Lyrics Verse Two
Ooooh ooh ooh ooh ooh
Kweli mambo mazuri
Hayataki haraka ooh
Haraka ooh mmh
Kwa dua nimesubiri
Nimepewa nilichotaka ooh
Nilichotaka oooh mmh
Penzi linaninogesha Noga
Nampa mchicha ale Noga
Vinono vya kunenepesha Noga
Sambusa ya nyama tele Noga
Kisha namchangamsha Noga
Namchezea segere Noga
Mwali kujineng’emsha Noga
Huku napiga kelele Aaah aah aah
Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Wewe wangu usukani
Kwenye penzi barabara
Chorus
Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okey beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua
Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua
Ashua Lyrics Verse Three
Wakikuuliza mbona huonekani
Tunacheza solo na zumari ndani
Kuingiza kete shimoni
Tunacheza solo na zumari ndani
Makopa kopa kwa malavidavi
Tunacheza solo na zumari ndani
Michezo ya karata kulambishwa mavi
Tunacheza solo na zumari ndani
Ashua Lyrics by Zuchu and Mbosso
ALSO, SING TO – Wana Lyrics – Zuchu