Home GENERAL Anajishaua Lyrics – DanZak – New Hit Song

Anajishaua Lyrics – DanZak – New Hit Song

0
Anajishaua Lyrics

Anajishaua Lyrics – DanZak

Anajishaua Lyrics Verse One

Hivi we kabila gani?
Asilia ulipotoka hunny
Umbile lako basi
Nichombeze nichombeze
Mahaba
Unikoleze unikoleze
Eeeh nitulize nitulize
Kwako nijimalize malize

Ananipa joto
Anazipiga deki nasafisha uwanja
Wema Sepetu
Mtoto sauti chiriku akicheka ana mwanya
Baby please ma
Tugandane pizza na cheese ma
Kama maji kwenye kisima
Jitenge nikuchote, nikuvute ning’ang’anie

Chorus

Anajishi anajishaua
Anajishishi anajishaua
Eeeh shishi anajishaua
Anajishi shi anajishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Anajishaua Lyrics Verse Two

Hey darling
Ana kachiri
Sifa zake waweza tumia mashahiri
Kama kazaliwa jana siri
Sifanyi tena sana namuweka dhahiri
Tupatwe na baraka za mama

Anajua kujipamba ana, jishaua
Ni mjuzi wa kadanda ana, jishaua
Tena akicheza vanga charanga
Ngoma korola Tanga, anajishaua
Babu Juma kasimama dede
Kaupinda ye, mgongo, kaupinda

Makadani nakuwaga bwege
Kaupinda ye, mgongo, kaupinda
Baby please ma
Tugandane pizza na cheese ma
Kama maji kwenye kisima
Jitenge nikuchote, nikuvute ning’ang’anie

Chorus

Anajishi anajishaua
Anajishishi anajishaua
Eeeh shishi anajishaua
Anajishi shi anajishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

ALSO, SING TO Sabuni ya Roho Lyrics – Best Naso – New Song

Previous articleSabuni ya Roho Lyrics – Best Naso – New Song
Next articleVictor Naman Biography, Comedy, Education, News, Wife