Acha Iwe Lyrics by NEDY MUSIC
Verse One
Umenifuta alama ya upendo
Kwenye penzi langu
Tena ukashindwa kuficha matendo
Kwenye mboni zangu
Najihisi moyo una ganzi
Ngumu kufika safari yangu
Kinywa kibogoyo silambi
Wala kutafuna
Aliniteka akili yangu
Nikazama mazima mazima
Mwisho wa siku ikala kwangu
Kichwa ikabaki na jina
Oooh yanauma
Ndio maana
Kila siku shida shida
Tajiri wa huzuni
Ndonda limekosa tiba
Nitapona lini?
Mie eh
Chorus
Acha iwe, we acha iwe, Acha iwe,
Bora nibaki mwenyewe
Acha iwe, we acha iwe, Acha iwe,
Bora nibaki mwenyewe
Verse Two
Nilishapona kidonda
Ona kaja kukitonesha
Kinywa nong’ona kupenda
Nakosa jibu kuwtwa nakesha
Naumwa kuwaza eh
Huenda pengine moyo hujaridhia
Nyota angaza eh
Mizani nipime wapi nafsi itatulia
Ama ni nuksi mikosi
Nyota ya punda yangu kubeba mizigo
Nakazana kufosi
Cha jana kuvunda kwangu mi nishazoe
Kila siku shida shida
Tajiri wa huzuni
Donda limekosa tiba
Nitapona lini?
Mie eh
Chorus
Acha iwe, we acha iwe, Acha iwe,
Bora nibaki mwenyewe
Acha iwe, we acha iwe, Acha iwe,
Bora nibaki mwenyewe
Last
Kila siku shida shida
Tajiri wa huzuni
Donda limekosa tiba
Nitapona lini mie
Acha Iwe Lyrics by NEDY MUSIC
ALSO, SING TO – Dakika Lyrics – KUSAH